Mbunge wa Rombo kupitia chama cha CHADEMA , Joseph Selasini, ameonesha kusikitishwa baada ya kuondolewa bila kupewa taarifa kwenye ‘Group la WhatsApp’ la Wabunge wa chama chake, ambalo pia yumo Mwenyekiti wa chama hicho Mh Freeman Mbowe.
#Bongo5Updates: Mbunge wa Rombo kupitia @ChademaTz
, Joseph Selasini, ameonesha kusikitishwa baada ya kuondolewa bila kupewa taarifa kwenye 'Group la WhatsApp' la Wabunge wa chama chake, ambalo pia yumo Mwenyekiti wa chama hicho @freemanmbowetz
. pic.twitter.com/JssNat1bSd— bongo5.com (@bongofive) April 28, 2020
The post Mbunge wa Rombo ‘CHADEMA’ Selasini asikitishwa baada ya kutolewa kwenye group la WhatsApp appeared first on Bongo5.com.