Maafisa wa afya wa jiji la Wuhan lililokuwa kitovu cha mlipuko wa janga la virusi vya corona wametangaza kutokuwa na mgonjwa yoyote aliyelazwa hospitalini kutokana na maradhi yanayosambazwa na virusi hivyo na hiyo itakuwa ni kwa mara ya kwanza tangu kutangazwa kwa mlipuko wa COVID-19.
Mtu aliyrvalia maski akionekana sokoni akinunua mboga katika jiji la Wuhan nchini China picha ya Aprili 18.
The post Jiji la Wuhan latangaza kutokuwa na mgonjwa yoyote wa Virusi vya Corona appeared first on Bongo5.com.