Diamond amesema kuwa “Nimenunua Hotel maeneo ya mikocheni, nimeshakabidhiwa documents zangu , ipo kwenye marekebisho kadhaa Kisha nitaitambulisha”

” Hotel niliyonunua kwasababu sijaanza kui upgrade , Niko radhi niitoe kwa serikali kwa muda huu ili iweze kutumika Kama Karantini au Hospitali mpaka pale Corona itakapoisha”

The post Diamond aonyesha hoteli aliyoinunua na kuamua kuitoa itumike kama karantini ya watu wenye Corona – Video appeared first on Bongo5.com.