Ndoa ya Mama Dangote na Mumewe Anko Shamte matatani.. Wawili hawa wanadaiwa kuwa wana mgogoro mzito... Na Inawezekana kuwa wamesha achana kwani tayari wamepigana BLOCK katika mitandaoni ya Kijamii

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>

Wambea wanasema toka last week hakuna maelewano na kumbe Mama Dangote na Mumewe Anko Shamte washatwangana block muda kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini