Kumekuwa na tetesi kwamba eti ukinywa Pombe basi hutaweza kuambukiwa Virusi hatari vya Corona. 

Uvumi huo sio kweli na Wizara ya Afya imetoa ufafanuzi na kuwataka watanzania wazingatie miongozo mbalimbali ya namna ya kujikinga na virusi hivyo inayotolewa na serikali