UKITAKA KUMFANANISHA MSANII YOYOTE WA BONGO NA AFRICA HII NA DIAMOND PLATNUMZ LAZIMA AWE NA VIGEZO VIFUATAVYO
✔️ 1. Awe na Followers 8.5M
✔️ 2. Awe ana International Collabos zenye Impact 30m+ views on youtube sio chini ya 6 ( alizoshirikishwa na alizoshirikisha) ✔️ 3. Awe ana Record label ambayo imezaa wasanii wakubwa sio chini ya wasanii wa
✔️4 tena wenye International standards
✔️ 5.Awe amebeba Tuzo kubwa zote barani Africa
✔️ 6. Familia yake yote iwe mastaa ✔️ 7. Awe na TV na Radio
✔️8. Awe anaongelewa kila Siku Iwe kwa mazuri au
Mabaya
✔️9. Pia awe na manager kama hawa @babutale
@mkubwafellatmk @sallam_sk
✔️ 10. Awe amefanya show kwenye nchi ambazo watanzania nchi hizo tunazisoma kwenye ramani tu