Tujifunze kukubali mafanikio ya mtu na tuache kasumbaaa loh kila siku mnunue nyie yeye akinunua eti kahongwa ...! S/O kwa muuuzaji na mnunuaji nimeamini kweli watu roho zinawauma jamani kila mtu ashinde mechu zake jamani . ! Pia mjiulize magari yanauzwa kila siku ni uamuzi wa mtu anynue kwa nani gari na anunue wapi . Tusimpangie mtu akanunue wapi .! Mazafantaaaaaaaaaaa..