Steve Nyerere amvaa Zahera "Anachofanya ni utoto kama Alitoa Hell kwa Yanga Yalikua Ni Mapenzi Yake"
Msanii wa maigizo nchini, Steve Nyerere amesema kitendo cha aliyekuwa Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera kwenda kwenye vyombo vya habari na kuzungumza kuhusu kufukuzwa kwake katika timu hiyo na anacho kifanya ni utoto…, Bofya hapa kutazama