Yamemshinda ! Diana Kimaro Ataka Kurudi BONGO..Maisha Yamshinda Marekani
Star wa filamu za Bongomovies Diana Kimaro ambaye muda mrefu sasa yupo nchini Marekani, amekaririwa akisema maisha nchini humo yamemshinda anataka kurudi Bongo kwani amewa-miss sana mama'ke na mashoga zake wa Kibongo