Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia), akipokea taarifa ya Uchunguzi wa Watumishi waliokuwa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuuziwa magari ya Serikali, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Wamoja Ayubu, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo. Kamati hiyo iliteuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu (hayupo pichani), Septemba 16, 2019 na ilipewa hadidu za rejea 13 kwa ajili ya kufanikisha kazi hiyo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), akizungumza katika kikao cha kupokea taarifa ya Kamati ya Uchunguzi wa Watumishi waliokuwa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuuziwa magari ya Serikali, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo. Kamati hiyo iliteuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu (kulia), Septemba 16, 2019 na ilipewa hadidu za rejea 13 kwa ajili ya kufanikisha kazi hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Wamoja Ayubu.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (meza kuu kushoto), akimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Uchunguzi wa Watumishi waliokuwa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuuziwa magari ya Serikali, Wamoja Ayubu (watatu kushoto), alipokuwa anaiwasilisha taarifa hiyo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara, jijini Dodoma, leo. Kamati hiyo iliteuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu (kulia meza kuu), Septemba 16, 2019 na ilipewa hadidu za rejea 13 kwa ajili ya kufanikisha kazi hiyo. Wapili kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara hiyo, Emmanuel Kayuni, na kulia Mkurugenzi Msaidizi Utawala, Subira Sawasawa, pamoja na wajumbe wa kamati hiyo.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Uchunguzi wa Watumishi waliokuwa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuuziwa magari ya Serikali, Wamoja Ayubu, akimfafanulia jambo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), wakati alipokuwa anaiwasilisha taarifa yake ya uchunguzi kwa Waziri huyo pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu (kulia), katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola (wapili kulia), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu (kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchunguzi wa Watumishi waliokuwa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuuziwa magari ya Serikali, Wamoja Ayubu (wapili kushoto), pamoja na wajumbe wa Kamati hiyo. Mstari wa nyumba kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara hiyo, Emmanuel Kayuni, na kulia Mkurugenzi Msaidizi Utawala, Subira Sawasawa. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.