Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia wa wananchi wa Sumbawanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Nelson Mandela Mjini Sumbawanga mkoani Rukwa leo Jumatatu Oktoba 7, 2019
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhP6AgXb1OFzphtS2D8GXEJWDb_AVKreHz1NH3-y_4OKVEMNMCcA6NF1-hKpMNoBOpzc7LEHATNsMifl5hXjeeCDhn6w0qWxWVoth_j4pMz57dieZs33AaC91wcehvD7oXZVHtFEEqCuaVk/s640/m14.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/1.-1-1024x563.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/3-30.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/4-22.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia wa wananchi wa Sumbawanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/6-9.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/7-9.jpg)
Sehemu ya Wananchi wa Sumbawanga waliohudhuria mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/8-8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Sumbawanga mara baada ya kuwahutubia katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa. PICHA NA IKULU