Mpiga PICHA wa Diamond Afunguka "Zari Alikuwa Ananikera Kwa Kutaka Nimpige Picha Asubuhi"
LUKAMBA wa Diamond Afunguka kuwa Zari Alikuwa Anamkera Sana kwakuwa Alikuwa ana Muamsha Asubuhi Sana ili Ampige PICHA za Kupost Insta , Lukamba amejibu hivyo baada ya kuulizwa swali kuwa yupi katika Wanawake wa Diamond alikuwa anakukera