Afisa Tarafa Remidius Emmanuel akizungumza na baadhi ya vikundi vya Sungusungu pamoja na wananchi wa kata ya Itiso wakati wa tamasha dogo la utamaduni lililoandaliwa na viongozi wa kabila la Wagogo wa Tarafa ya Itiso na kufanyika  katika Kijiji cha Mapanga (Makulu).
 Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Tarafa ya Itiso A/Insp. Mohamed Ally akitoa neno kwa wananchi pamoja na baadhi ya vikundi vya Sungusungu wakati wa tamasha dogo la utamaduni lililoandaliwa na viongozi wa kabila la Wagogo wa Tarafa ya Itiso na kufanyika  katika Kijiji cha Mapanga (Makulu)
 Kiongozi wa Kabila la Wagogo Tarafa ya Itiso, Chief Mahemu Izidoli Maope akizungumza wakati wa tamasha dogo la utamaduni lililoandaliwa na viongozi wa kabila la Wagogo wa Tarafa ya Itiso na kufanyika  katika Kijiji cha Mapanga (Makulu)
Afisa Tarafa  Itiso Remidius Emmanuel akiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi wa kabila la Wagogo  wa Tarafa ya Itiso mara baada kumalizika kwa tamasha dogo la utamaduni lililoandaliwa na viongozi wa kabila la Wagogo wa Tarafa ya Itiso na kufanyika  katika Kijiji cha Mapanga (Makulu).