Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya KCB Christina Manyenye, (kulia), akizungumza na wafanyabiashara zaidi 300 wakati wa kongamano la KCB Biashara Club liliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa dhumuni la kutoa mafunzo katika nyanja mbali mbali za kuendesha biashara, fursa ndani ya Biashara Club na utayari wa benki hiyo kuhakikisha kwamba wateja wake wanachukua  fursa hizo.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya KCB, Masika Mukule akijibu swali kutoka kwa mmoja ya wafanyabiashara zaidi 300 wakati wa kongamano la KCB Biashara Club liliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa dhumuni la kutoa mafunzo katika nyanja mbali mbali za kuendesha biashara, fursa ndani ya Biashara Club na utayari wa benki hiyo kuhakikisha kwamba wateja wake wanachukua  fursa hizo.
 Mkuu wa Kitengo Wafanyabishara Wadogo na wa Kati (SME) wa Benki ya KCB, Abdul Juma (kulia), akizungumza na wafanyabiashara zaidi 300 wakati wa kongamano la KCB Biashara Club liliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa dhumuni la kutoa mafunzo katika nyanja mbali mbali za kuendesha biashara, fursa ndani ya Biashara Club na utayari wa benki hiyo kuhakikisha kwamba wateja wake wanachukua  fursa hizo.