Home
About
Contact
Home
HABARI
FACTS
Home
NEWS
Wema Sepetu Aachiwa Huru Na Kisha Kukamatwa Tena
Wema Sepetu Aachiwa Huru Na Kisha Kukamatwa Tena
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, lakini dakika chache baadaye askari magereza walimkamata tena.
Malkia huyo wa filamu anakabiliwa na kesi ya kusambaza picha zinazodaiwa kuwa za ngono mtandaoni.
DOWNLOAD BONGO EXCLUSIVE APP ON PLAYSTORE FREE