Home
About
Contact
Home
HABARI
FACTS
Home
NEWS
Rais Magufuli amtumbua Mkurugenzi wa Kyela
Rais Magufuli amtumbua Mkurugenzi wa Kyela
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, Lucy Mganga kwa kutoridhishwa na utendaji kazi wake.
Taarifa ya utenguzi huo imetolewa leo jijini Dodoma na waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo.
DOWNLOAD BONGO EXCLUSIVE APP ON PLAYSTORE FREE