WAZIRI MKUU AKISALIMIANA NA WAZEE KATIKA KIJIJI CHA MANDAWA WILAYANI RUANGWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Mandawa wilayani Ruangwa, Juni 3, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)