Mzee wa Miaka 89 Azikwa na magazeti yote aliyosoma enzi za uhai wake
Raia wa Uganda, Dodoviko Ssenyonjo (89) amezikwa na lundo la magazeti aliyokuwa akisoma enzi za uhai wake, kama alivyotaka, kwa sababu hakuamini kama familia yake itaweza kuyahifadhi kama alivyofanya yeye.