Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Mhe. Christina Mndeme (watatu kushoto), akikata utepe ikiwa ni ishara ya kufungua soko la kuuzia dhahabu na madini ya vito wilaya ya Tunduru Mkoani humo kama utekelezaji wa agiza ka Mhe. Rais Dkt John Pombe Magufuli ambapo aliloagiza kila wilaya na mkoa ambao una madini kufungua soko la kuuzia madini ambalo litawezesha wauzaji na wanunuzi kuuzia madini. Wapili kushoto ni MKuu wa Wilaya ya Namtumbo Mh.Sophia Kizigo.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mndeme akiongea na baadhi ya wanunuzi wa madini wakati wa hafla ya ufunguzi wa soko hilo.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Mhe. Christina Mndeme (watatu kushoto), akiungana na viongozi wengine kupiga makofi mara baada ya kukata utepe ikiwa ni ishara ya kufungua soko la kuuzia dhahabu na madini ya vito wilaya ya Tunduru Mkoani humo kama utekelezaji wa agiza ka Mhe. Rais Dkt John Pombe Magufuli ambapo aliloagiza kila wilaya na mkoa ambao una madini kufungua soko la kuuzia madini ambalo litawezesha wauzaji na wanunuzi kuuzia madini. Wapili kushoto ni MKuu wa Wilaya ya Namtumbo Mh.Sophia Kizigo.. (PICHA NA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUVUMA).