staa Alikiba ambaye kwa sasa yupo chini ya Sonny Music ameshinda tuzo mbili katika tuzo za Holly Wood $ African People's Choice zinazofahamika kama THE NAFCA zilizofanyika Califonia USA, Alikiba alikuwa akiwania tuzo hizo katika vipengele viwili 'Favorite Artist of the year'na Favorite song of the year.