​Diamond Asherehekea Video ya Kidogo Kufikisha Views Milioni 1 Ndani ya Siku 4
Diamond Platnumz anasherehekea mafanikio ya video ya wimbo wake mpya, Kidogo.
Ndani ya siku nne, video ya wimbo huo aliowashirikisha P-Square imefikisha views zaidi ya milioni moja kwenye mtandao wa Youtube. Staa huyo hakusita kusherehekea hatua hiyo na mashabiki wake:

Ameandika Haya:

Diamondplatnumz
AND THE AFRICAN HISTORY WAS MADE!!!!!! 1Million + VIEWES WITHIN 4 DAYS!!!!! #KIDOGO by @DiamondPlatnumz ft P-SQUARE ....many thanks to my brothers @peterpsquare @rudeboypsquare ...Media /Fans and all Behind this Project....🙏
(Nawashukuru wote mloniwezesha kuweka Historia hii kubwa Africa ya video kutazamwa zaidi ya mara Milioni 1 ndani ya siku nne, hakikia huu ni upendo wa Mkubwa na wa Dhati, shukran sana sana kwa wote walio Husika na Project hii bila kuwasahau Media na Nyinyi mashabiki zangu pendwa kwa kuupokea kwa kishindo Wimbo huu!!!.... waambie Malalamiko Baadae kwa sasa tuna cheza #KIDOGO ) Clik the link in my BIO to watch full VIDEO!!!!