Soundcity imeanzisha #AlikibaDay kwa heshima ya Alikiba ambapo neno hilo linaonekana kwenye screen ya TV kwa siku nzima.


“We still counting down Major Announcements #4 : Exclusive ALIKIBA Day @SoundCityafrica Thank you @SoundCity kwa kumpa heshima hio ya kwanza kwenu kwa kudedicate channel yenu siku nzima kwa @officialalikiba Watanzania wenzetu wamefurahi sana
#KingSoundCity #Rockstar4000 #SonyMusicAfrica #TheCountDownContinues,” ameandika meneja wake, Seven Mosha kwenye Instagram.

Wiki hii Alikiba ametengeneza vichwa vya habari Afrika nzima baada ya kusainishwa deal la kimataifa na label ya Sony Music. Pamoja na kusaini deal hilo, Kiba pia ameteuliwa kwenye kampeni ya Food Revolution ya taasisi ya Jamie Oliver Food Foundation.

Kupitia Instagram, Alikiba aliandika: Major Worldwide Announcement #3: I’m joining global master celebrity Chef Jamie Oliver and have partnered for an initiative I am very passionate and proud to be associated with. Proud to support Jamie Oliver and to come on board as a Global Champion and Global Ambassador for #FoodRevolution!”