Shilole - "Say My Name" Feat Barnaba (Lyrics) | MISTARI

Shilole - Say My Name (Lyrics)


[Chorus – Barnaba]

Ikino baby (kunguru)
Ikino baby (ameruka kunguru)
Mama bikino, baby
You make me kwasa eh
You make me kwasa kwasa eh
Ni shimo la wengi (kunguru)
Ye ndo shimo la wengi (ameruka kunguru)
Ye ndo shimo la wengi
Kuweka taka eh
Kuweka takataka eh

[Verse 1 – Shilole]


Igunga mpaka Jo’burg
Kweli nimesota
Shida nlizopita
Kamwe sitaki kukumbuka
Say my name Shishi
Mwanamke mbishi
Nazijua dhiki
Vikaragosi hamnitishi
Najua unaniombea mabaya
Si ulijua ntayumba
Wa kuzuia ni Mola
We binadamu utashindwa
Shishi baby!

[Chorus – Barnaba]


Ikino baby (kunguru)
Ikino baby (ameruka kunguru)
Mama bikino, baby
You make me kwasa eh
You make me kwasa kwasa eh
Ni shimo la wengi (kunguru)
Ye ndo shimo la wengi (ameruka kunguru)
Ye ndo shimo la wengi
Kuweka taka eh
Kuweka takataka eh

[Verse 2 – Shilole]


Siku hizi unavuta cigarette
Hush, una-stress
Kaka mbona husomeki?
Hush, hubebewa
Nakujua A to Z
Wewe hammer baby
Kweli hubebeki
Ama kweli we makuu

[Chorus – Barnaba]


Ikino baby (kunguru)
Ikino baby (ameruka kunguru)
Mama bikino, baby
You make me kwasa eh
You make me kwasa kwasa eh
Ni shimo la wengi (kunguru)
Ye ndo shimo la wengi (ameruka kunguru)
Ye ndo shimo la wengi
Kuweka taka eh
Kuweka takataka eh