Hili ndilo tukio la kipekee 2014 lililotokea huko  Manchester city centre

WANAUME NA WANAWAKE ZAIDI YA 200 WASHEREHEKEA KUENDESHA BAISKELI UCHI MCHANA KWEUPE!!

Chanzo cha habari hii kinasema kuwa watu hao waliamka asubuhi mida ya saa moja siku ya ijumaa na kuanza kukatisha mitaa wakiwa utupu huku na wakionekana na nyuso za furaha kana kwamba wame Enjoy kufanya hivo.
Siku hiyo wameipa jina kama
Siku ya kuendesha baiskeli uchi duniani.

Ama kweli dunia ina mambo, comment chochote kihusu tukio hili hapo chini.